CHELSEA KUCHEZA NA TOTTENHAM, ARSENAL NA MAN CITY KOMBE LA FA.


Baada ya kuwatoa Manchester United kwa goli 0-1, Chelsea watakutana na Tottenham katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la FA.

Michezo huo utachezwa tarehe 22 mwezi Aprili kwenye uwanja wa Wembley.

Image may contain: text 

Nusu fainali nyingine ni kati ya Arsenal watakaocheza na Manchester City Aprili 23.

Image may contain: text

0 comments: