HIZI NDIZO TIMU ZILIZOINGIA CHAMPIONS LEAGUE.

Nchi zilizovusha timu 8 katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ni nne tu.

Hispania ndiyo imetawala zaidi kwa kuvusha timu tatu, ikifuatiwa na Ujerumani yenye mbili wakati Italia, Ufaransa, England na Italia zimevusha moja kila moja.

Real Madrid ya Hispania ndiyo mabingwa watetezi na wanaongoza kulitwaa mara nyingi zaidi.

HISPANIA:
Real Madrid, Barcelona, Atletico Madrid

UJERUMANI
Bayern Munich, Borussia Dortmund

ENGLAND:
Leicester

UFARANSA:
Monaco

ITALIA:
Juventus

0 comments: